Ijumaa Agosti 28, 2026
  • The Guardian |
  • Nipashe |
  • Nipashe Jumapili
ePaper
icon user
Ingia
  • ad
  • home-icon
  • Home
  • Habari
    • Kimataifa
    • Kitaifa
  • Biashara
  • Michezo
    • Soka
  • Burudani
  • Makala
  • Safu
    • Muungwana Lazima Nilonge
  • Maoni
    • Maoni Ya Mhariri
    • Katuni
  • Maktaba
  • ePaper
  • icon user Ingia
Clear X

Habari

  • Kimataifa
  • Kitaifa

Biashara

Michezo

  • Soka

Burudani

Makala

Safu

  • Muungwana Lazima Nilonge

Maoni

  • Maoni Ya Mhariri
  • Katuni

Editions

  • The Guardian
  • Nipashe
  • Nipashe Jumapili
ad
logo
  • Home
  • Habari
    • Kimataifa
    • Kitaifa
  • Biashara
  • Michezo
    • Soka
  • Burudani
  • Makala
  • Safu
    • Muungwana Lazima Nilonge
  • Maoni
    • Maoni Ya Mhariri
    • Katuni
  • Maktaba
  • Editions

  • The Guardian
  • Nipashe
  • Nipashe Jumapili

Picha

Waziri wa Madini, Anthony Mavunde akiwasilisha hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2026/2027 Bungeni Dodoma jana.
Kitaifa

Makadirio ya mapato ya Wizara ya Madini

28 Apr 2026
Mkuu wa wilaya ya Musoma mkoani Mara, Juma Chikoka (wa pili kushoto), akishiriki katika kazi ya kufanya usafi, katika eneo la Machinjioni, Kata ya Rwamlimi, Manispaa ya Musoma, juzi, na kuwahimiza wananchi kutunza usafi wa mazingira, kwa ajili ya usalama
Kitaifa

RC Chikoka aongoza usafi eneo la Machinjio

28 Apr 2026
Rais Samia Suluhu Hassan, akipokea ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma katika matukio tofauti yaliyofanyika Ikulu, Dar leo Machi 30, 2026.
Kitaifa

Rais Samia apokea Ripoti za CAG, TAKUKURU na PPRA Ikulu

30 Mar 2026
Balozi wa taasisi ya WildAid, Nakaaya Sumari (kulia) akizungumza na waandishi wa habari na wadau wa uhifadhi wa mazingira katika ofisi za TBC 2 jana, kushoto kwake ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TBC, Daphrosa Kimbori.
Kitaifa

Tuyatunze mazingira kwa faida ya sasa na baadae

25 Jun 2025
Bingwa wa Magonjwa ya Wanawake, Uzazi na Upasuaji wa Fistula katika Hospitali ya CCBRT Dk. Peter Majinge (kushoto), akikata keki pamoja na mmoja wa akinamama wanaoendelea na matibabu ya fistula hospitalini hapo, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho
Kitaifa

CCBRT yaadhimisha siku ya kimataifa ya kutokomeza fistula

23 May 2025
Watembea kwa miguu wakivuka katika eneo lisilo rasmi, badala ya kutumia daraja la juu lililojengwa maalum kwaajili yao katika barabara ya Mandela, eneo la Buguruni,  jijini Dar es Salaam leo, kitendo ambacho ni hatari kwa usalama wao.
Kitaifa

Watembea kwa miguu wahatarisha maisha kwa kuvuka njia isiyo rasmi Buguruni

23 May 2025

Picha Zaidi

Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, akizungumza kwa njia ya mtandao na Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Kimataifa wa kusaidia Mapambano dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi, Kifua Kikuu na Malaria (Global Fund), Peter Sands, Ikulu, jijini Dar es Salaam leo.
Kitaifa

Rais Samia azungumza na Mkurugenzi wa Global Fund

23 May 2025
Mshindi kutoka Benki ya Exim Tanzania wa kampeni ya ‘UEFA Priceless’ Manjeet Kaur Mair (wa pili kushoto) akipongezwa na Silas Matoi (wa pili kulia), Mkuu wa Idara ya Huduma Mbadala za Kidijitali wa Exim katika kampeni ya matumizi ya Exim Mastercard
Soka

Mshindi kampeni ya ‘UEFA Priceless' kushuhudia fainali za UEFA mbugani

23 May 2025
Mkurugenzi wa Rasilimali Watu wa Vodacom Tanzania Plc, Vivienne Penessis, akimkabidhi zawadi Bless Alexander, mhitimu wa programu ya Code Like A Girl, inayowezesha wasichana katika masomo ya STEM, ikifadhiliwa na Vodacom Tanzania na dLab. Hafla ilifanyika
Kimataifa

Wasichana Wawezeshwa Kupitia Programu ya Code Like A Girl

12 Mar 2025
Wakazi wa kijiji cha Loiborsoit A, wilayani Simanjiro mkoani Manyara, wakipandisha mizinga kwenye miti kwa ajili ya ufugaji nyuki iliyotolewa kwa vikundi viwili vya wana-wake kwa ajili ya uzalishaji asali juzi.
Kimataifa

Vikundi vya wanawake Loiborsoit A vaanza ufugaji nyuki

03 Mar 2025
Wakazi wa jijini Dar es Salaam wakiendelea na shughuli za kibiashara katika mtaa wa Msimbazi eneo la Kariakoo, ambapo kwa sasa biashara hufanyika usiku na mchana.
Kimataifa

Biashara Kariakoo, Usiku na Mchana

03 Mar 2025
Umoja wa Wanawake wa CCM Wilaya ya Mbeya, wakiongozwa na Mbunge wa Viti Maalumu, Maryprisca Mahundi, walifanya maandamano ya amani Mbalizi kuelekea Hospitali ya Ifisi kuwaona wagonjwa kama sehemu ya maandalizi ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani.
Kimataifa

Mahundi aongoza UWT Mbeya, maadhimisho Siku ya Wanawake Duniani

03 Mar 2025
Katibu Tawala wa mkoa wa Kaskazini A, Mariam Khamis, (katikati) akikata utepe kuzindua rasmi duka la huduma kwa wateja  la Vodacom huko Zanzibar Nungwi. Uzinduzi huu ni hatua muhimu kwa jamii, kwani duka hilo litatoa huduma bora za mawasiliano na bidhaa.
Kimataifa

Vodacom yawasogelea wakazi Nungwi, Zanzibar

03 Mar 2025
Naamini Yonazi, mtaalamu wa mifumo ya kompyuta wa Vodacom Tanzania PLC, akizungumza na wasichana wa mafunzo ya ‘Code Like a Girl’ jijini Dar es Salaam, yanayofadhiliwa na Vodacom kupitia dLab ili kuwawezesha kujifunza na kukuza ujuzi wa kidijitali.
Kitaifa

Vodacom yawezesha wasichana kupitia ‘Code Like a Girl’

14 Feb 2025
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, akihutubia katika mkutano wa hadhara wakati wa kumkaribisha, mjini Bunda, juzi.
Kitaifa

Wasira mkutanoni Bunda

31 Jan 2025
Koplo Alfred Mtawali wa Kituo cha Polisi Kati Arusha, akitoa elimu ya matumizi ya  tiketi mtandao kwa abiria ndani ya basi, katika kituo cha mabasi ya mikoani, jijini humo, juzi.
Kitaifa

Elimu ya matumizi ya tiketi mtandao kwa abiria

31 Jan 2025
Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, akiwasili Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo kuungana na jopo la mawakili wa Dk. Wilbroad Slaa, anayeshtakiwa kwa kuchapisha taarifa za uongo mtandaoni.
Kitaifa

Lissu aongezeka jopo la mawakili kumtetea Dk. Slaa

30 Jan 2025
Msimamizi wa mauzo wa Vodacom Tanzania Plc, Neema Lucas, akiweka mafuta bure kwenye bajaji ya mteja John John jijini Dar es Salaam, ikiwa ni hitimisho la kampeni yao ya sikukuu ya kurudisha tabasamu kwa wateja.
Kitaifa

Kampeni ya ‘Shangwe Popote Ukiwa na M-Pesa’ yatamatika

29 Jan 2025
Logo

About

About Us
Terms and Conditions
Advertise with Us
Contact Us

FOLLOWS US ON

Habari

  • Kimataifa
  • Kitaifa

Biashara

Michezo

  • Soka

Burudani

Makala

Safu

  • Muungwana Lazima Nilonge

Maoni

  • Maoni Ya Mhariri
  • Katuni

Siasa

  • Kitaifa
  • Kimataifa

Editions

  • The Guardian
  • Nipashe
  • Nipashe Jumapili

Our networking

  • ITV -
  • Radio One -
  • East Africa Television -
  • East Africa Radio -
  • CAPITAL TV -
  • CAPITAL RADIO

© 2026 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED